Video:Jifunze kujitambulisha kwa kiingereza


  Msomaji karibu sana katika kipindi cha leo nimekuwekea video inayoonesha namna unavyoweza kujitambulisha ukikutana na mtu kwa mara ya kwanza .  Utajifunza namna ya kutamka maneno na kuyaludia ili ujue namna yanavyotamkwa .Karibu sana  

Pete : Hi,Are you Anna?
         Habari,wewe ni Anna?

Anna : Yes,Hi there,Are you Pete?
           Ndio ,Habari wewe ni Pete?

Pete : I am Pete
         Mimi ni Pete

Anna : Nice to meet you
           Nafurahi kukutana na wewe.                  
                                                             


Subscribe

* indicates required

Tambua Kitenzi Katika Lugha ya Kiingereza (Verb)






Msomaji wa Learn English Language karibu katika somo letu la leo ambapo tutajifunza kitenzi (verb) katika lugha ya kiingereza.Vitenzi ni maneno ambayo yanatumika sana katika mazungumzo yetu ya kila siku inaweza kuwa nyumbani,kazini,shuleni au sehemu yoyote.

(a) What is a Verb?
       Kitenzi ni nini?

Verb is a word which used to indicate an action,a state of being existence or possession.

itenza ni neno ambalo hutumika kuonesha kitendo,hali ya uwepo wa jambo au umiliki wa kitu.

mfano : example

I speak English : Ninaongea kiingereza

She works hard : Yeye hufanya kazi kwa bidii

Juma plays football : Juma hucheza mpira.

NOTE: Maneno yote yaliyopigiwa  mstari ni vitenzi (Verbs)


(b) Uses of Verbs: Matumizi Ya Vitenzi

1.Verb used to tell us what a person or a thing does.
   
Kitenzi hutumika kutuambia nini mtu anafanya au kitu gani kinafanya nini.

Mfano : examples

Michael writes novel : Michael huwa anaandika hadidhi.
Sentensi hii inaonesha Michael huwa anafanya tendo la kuandika hadidhi.

The Sun rises  everyday : Jua huchomoza kila siku


2. Verbs tells us what is done to a person or a thing
   
 Kitenzi hutumika kutuambia tendo alilofanyiwa mtu au kitu.

Mfano : Example

He has punished :Yeye ameadhibiwa

Sentensi hii inaonesha mtu (he) amefanyiwa kitendo cha kuadhibiwa

3.Verb tells us about a state of being or existence.
    Kitenzi hutuambia hali ya mtu au uhalisia wake.

Mfano

Gamaliel is a doctor : Gamaliel ni daktari

Lulu is a designer : Lulu ni mbunifu.

Goats are in the house : Mbuzi wako kwenye nyumba

4,Verb tells us about a possession : Kitenzi hutuambia kuhusu umiliki wa kitu.

Mfano

I have a good memory ; Mimi nina kumbukumbu nzuri

She has yellow skirt : yeye (she) ana sketi ya njano


(c) Kinds Of Verbs :Aina za Vitenzi

There are basically two main groups of verb

Kuna aina kuu mbili ya vitenzi ,kama ifuataavyo:


  1. Main Verb : Kitenzi Kikuu
  2. Auxilliary Verb :Kitenzi Kisaidizi
Mpenzi msomaji katika kipind kinachofuata tutajifunza zaidi kuhusu Main Verb na kujua zinatumikaje katika mazungumzo yetu ya kila siku .


TODAY`S VOCABULARIES : MISAMIATI YA LEO
  • boast - majivuno
  • boastful - enye majivuno
  • bog - ziwa la matope
  • bogged down - kukwama,kushindwa kuendesha
  • bold - shujaa,jasiri
  • boistreous - enye fujo,enye jeuri
  • boldness - ushujaa 
  • bondage - utumwa,kifungonibonfire - moto mkubwa uwashwao kwa sherehe ya jambo fulani
  • bonus- - malipo ya ziada baada ya kazi  

Ili uweze kufikia lengo lako la kujua kuongea Lugha ya kiingereza ni lazima ujue misamiati mingi,anza sasa kujifunza misamiati kila siku utashangazwa sana na matokeo yake,utakuwa mtaalamu wa lugha,endelea kujumuika nami katika mtandao wa Learn English Language ili kujifunza zaidi kama hujajiunga nasi jiunge sasa kujifunza Lugha ya Kimataifa.

Soma : Powerful word You Can Use to Get Anything

Your Tutor
Jenicia John
 Email : jeniciaj55@gmail.com






Jifunze Viwakilishi Saidizi (Relative Pronoun)










Msomaji wa mtandao wa LEARN ENGLISH LANGUAGE  karibu katika somo la leo ambapo tutajifunza kuhusu Viwakilishi Saidizi(Relative
Pronouns).Viwakilishi saidizi ni maneno ambayo hutumika kuunganisha sentensi nbili tofauti,maneno Haya yanaweza kutumika mwanzoni mwa sentensi na yanaweza kutumika katikati ya sentensi.Yakitumika mwanzoni mwa sentensi yanatumika kama subject na yakitumika katikati ya sentensi ni object.
Maneno hayo in who,whom,which,that,those,whose, na what .

1. WHO : Inatumika kuwakilisha watu,inatumika kamakisaidizi cha kitenzi katika sentensi.
WHO : It is used for people, used as a subject of the verb in the sentence.

Example :Mfano

Join the following sentences by using relative pronoun Who.

a. Mwalimu alieandika kitabu hiki.Amehamishiwa Musoma
    The teacher wrote this book.He has been transferred to Musoma.

     Mwalimu ambaye aliandika kitabu hiki amehamishiwa Musoma.
     The teacher who wrote this book has been transferred to Musoma.

Note:Kumbuka nini maana ya Relative Pronouns ni viwakilishi saidizi vya kitenzi.Chunguza hizo sentensi hapo juu,pale ambapo neno WHO limetumika kama kisaidizi cha kitenzi kikuu katika sentensi ya kwanza.

b. The boy went there yesterday. He is my brother.
     Mvulana aliyeenda pale jana.In kaka yangu.

     The boy  who went there yesterday is my brother.
      Mvulana ambaye alienda pale Jana ni kaka yangu.

Test yourself: Make five sentences by using relative pronoun WHO
Tunga sentensi tano kwa kutumia kiwakilishi saidizi WHO.

2. WHICH : It is used for things.It is used for both as subject and object.
      WHICH : hutumika kwa vitu tu.hutumika mwanzon na katikati ya sentensi
      WHICH means ambacho.

Mfano

a. The car which I bought is new.
     Gari ambayo nilinunua ni new.

b. The shop which is stolen is mine.
    Duka ambalo limeibiwa ni langu.

Test : Tengeneza sentensi tano kwa kutumia neno Which

3. THAT :It used for both people and things -  Hii hutumika kwa watu na vitu.
 That means kile,ile,ambacho  hiiinategemea na lilivotumika katika sentensi

Mfano:
a. That is my diary -Ile ni diary yangu
b. The book that I bought yesterday was stolen - Kitabu ambacho nilinunua jana kimeibiwa
c. The man that came here is my father - Wmanaume ambaye alikuja hapa jana ni baba yangu.

Test : Tunga sentensi tano kwa kutumia neno That.

Soma:Haya ndio Majina ya Jumla Katika KIingereza.


4.WHOSE : Used to show that something belongs to someone
                     Hii hutumika kuonesha kitu fulani kinamilikiwa na mtu fulani.

Mfano:
a. The boy whose father is a doctor works very hard
    Mvulana ambaye baba yake ni daktari anafanya kazi kwa bidii.
Sentensi hii inaonesha umiliki ,mvulana ambaye ana babayake ambaye anafanya kazi kwa bidii.


5. WHAT : This used in the place of words or things - Hii hutumika kusimamia maneno au vitu

Mfafano;
a. What she have bought is new vision - Kile alichonunua ni toleo jipya
b. What he told us is not true - Kile alichotuambia sisi sio kweli
c. What I like to my son is his intellegence - Kile ninachokipenda kw kijana wangu ni umakini wake

Test : Tunga sentensi 5 kwa kutumia neno "what"

Soma; Why Blaming Others For Your Failure?

Msomaji ili kuelewa zaidi kuhusu relative pronouns soma vitabu vya kiingereza utagundua vitu vingi na kujifunza zaidi.Endelea kutembelea mtandao Learn English Language ili kujifunza zaidi.Kama hujajiunga nasi jiunge sasa ili kupokea mafunzo kwenye email yako.Na kama unapenda kujiunga kwenye kundi last whatsup nitumie namba yako nitakuunganisha,hata kama utashindwa kujaza form zetu nitumie email na jina lako kamili nitakuunganisha.Karibu tujifunze lugha ya kimataifa


 








Mambo Matatu Muhimu ya Kuzingatia Ukiwa Unajifunza Lugha Yoyote Ngeni.






Karibu msomaji wa mtandao wa LEARN ENGLISH LANGUAGE,karibu katika somo la leo ambapo tutajifunza mambo muhimu ya kuzingatia ukiwa unajifunza lugha yoyote ngeni.Hivyo sisi tunajifunza lugha ya kiingereza hatuna budi kujifunza na kuzingatia mambo haya.Unapojifunza lugha ya kiingereza unatakiwa kuangalia kila neno katika njia tatu:


  1. Maana ya neno :Meaning of the word.
Elewa maana halisi ya neno lolote katika lugha ya kiingereza,hii itasaidia kuelewa maana ya maneno mengine kwa wakati huohuo.

Understanding the meaning of words in English can help you to understand the meaning of other words at the same time.

Example : Mfano
Boy - mvulana
Ukisha jua boy ni mvulana kwa kiingereza lazima katika akili yako utajiuliza msichana anaitwaje kwa kiingereza,lazima utatafuta kujua msichana anaitwaje,tayari utakuwa umejifunza neno jipya.


2. Aina za maneno :Parts of speech

Kuna aina nane za maneno zinazotumika katika lugha ya kiingereza,kama unataka kujua kuongea,kuandika na kusoma vizuri lazima ujue aina za maneno,tambua kwamba kila aina ina sheria zake katika maandishi,matamshi na matumizi.Ni lazima ujifunze kutambua kila neno liko kwenye kundi lipi.Hizi ndio aina za maneno:

  • Noun   - Jina
  • Verb - Kitenzi
  • Pronoun - Kiwakilishi
  • Adjective - Kivumishi
  • Articles - Viambatanishi
  • Adverb - Vielezi
  • Preposition  - Viunganishi 
  • Conjuction - Vihusishi


Soma:Zijue Aina za maneno(Parts of Speech)

   3.  Matumizi ya neno :Uses of  word
Kila neno lina matumizi yake katika kukamilisha maana ya sentensi,ukitambua matumizi ya kila neno ni rahisi kwako kutambua viambatanishi ili kukamilisha sentensi.
Mfano chunguza sentensi zifuatazo matumizi ya neno "What"

  • what  is on the table? - Kuna nini juu ya meza?
  • What is she doing? - Yeye anafanya nini?
  • What are you talking about?- Wewe unaongea kuhusu nini?
Hapa utagundua neno "what" lina matumizi kofauti katikakila sentensi.

Msomaji wa LEARN ENGLISH LANGUAGE hayo ndio mambo matatu muhimu ya kuzingatia ukiwa unajifunza lugha ya kiingereza ambayo ni lugha ya kimataifa.Jifunze lugha ya kimataifa kwa kujiunga na mtandao huu ili uweze kupkra mafunzo uweze kuendelea kujifunza kupia email yako.Bonyeza hapa hapa kujiunga na mtandao wetu.karibu tujifunze pamoja.