Msingi Wa Tano Wa Kujifunza Kuongea Lugha Ya Kiingereza



Ni siku nyingine tena msomaji wa mtandao wa Learn English Language karibu katika somo la leo ambapo tunaendelea kujifunza msingi wa tano wa kujifunza kuongea lugha ya kiingereza.Leo tutajifunza matumizi ya maneno ambayo hutumika sana katika mazungumzo katika maisha yetu ya kila siku.Maneno hayo ni "Trying +To"

 Trying :Haya ni maneno ambayo mtu hutumia kumfahamisha mtu mwingine kwamba anajaribu kwa namna yoyote ile kukamilisha jambo fulani kwa bidii sana.Kwa kuongeza kitenzi "to" ni kuonesha nini hasa ambacho anajaribu kufanya.

Soma:Mbinu za kujifunza lugha ya kiingereza

Pronoun + Trying : These are grammatical words whichi a person use to inform someone else what he/she attempting to accomplish something.By adding the verb "to" is to point out what exactrly you are attempting to do.

Mfano/Example
I am trying to do an exercise everyday
Najaribu kufanya mazoezi kila siku.

 John is trying to find any job to do
 John anajaribu kutafuta kazi yoyote ya kufanya

Children are trying to learn things by themselves
Watoto wanajaribu kujifunza vitu wao wenyewe

I am trying to explain myself to the teacher but she doesnt want to understand me.
Najaribu kujieleza kwa mwalimu lakini hanielewi.

He is trying to work hard.
yeye anajaribu kufanya kazi kwa bidii.

Msomaji  penye nia pana njia endelea kuwa nami ili tuendelee kujifinza,na kama hujajiunga jiunge sasa na mtandao huu ili kujifunza zaidi.Karibu tujifunze pamoja.

Your Tutor
Jenicia John
http://tlearningenglish.blogspot.com



0 comments:

Post a Comment