MSINGI WA NNE WA KUJUA KUONGEA KIINGEREZA




 Karibu katika somo la leo tunaendelea kujifunza misingi mbalimbali ya kujua kuongea lugha ya kiingereza.Siku ya leo tutajifunza matumizi ya neno "going to".Namna linavyotumika katika mazungumzo yetu ya kila siku.Karibu tujifunze pamoja.

"Going to" ni neno ambalo hutumika kumwelezea mtu ulichopanga kufanya wewe au mtu mwingine kwa sasa au unachotarajia kufanya kwa baadae.

"Going to" is the grammatical word which used when you are telling someone what you are planning to do at the moment or in the near future.

Mfano : Example
I am going to work.
Naenda kufanya kazi

Neema is giong to prepare dinner
Neema ataandaa chakula cha usiku

I am going to stop drinking alcohol
Nitaacha kunywa pombe

Sherry is going to help her friend to find job
Sherry atamsaidia rafiki yake kutafuta kazi

Our teacher  is going to teach us Maths
Mwalimu wetu ataatufundisha Maths

I am going to stop smoking
Nitaacha kuvuta sigara

She is going to read all those books
Yeye atasoma vile vitabu vyote.



 EXERCISE : ZOEZI



Msomaji wa LEARN ENGLISH LANGUAGE tutaendelea kujifunza maneno mengi zaidi yanayotumika katika maisha yetu ya kila siku,hii ndio misingi ya kujua kujifunza kuongea lugha ya kiingereza.

Your Tutor
Jenicia John
http://tlearningenglish.blogspots.com


1 comment: